Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron amefahamisha kuongeza juhudi na ufadhili katika mpango wa elimu kwa thamani ya karibu dola milioni 250 kinyume na ilivyokuwa katika kipindi cha kati ya mwaka 2014 na mwaka 2017.
Jumuiya ya kimataifa katika mkutano wake uliandaliwa mjini Dakar Ijumaa kupiga atua na kutoa msaada katika zoezi la kuimarisha sekta ya elimu kwa watoto ikiwemo barani Afrika .
Atua hiyo imepongezwa na kuungwa mkono na nyota wa muziki wa kimataifa Rihanna.
Ushirikiano wa kimataifa wa elimu upo katika muelekeo mzuri jambo ambalo linaitaji kuongezwa kiwango cha dola bilioni 3,1. Haya ni baada ya mkutano uliofanyika mjini Dakar chini ya uongozi wa rais Maky Sall na rais wa Ufaransa Emmanuel Macron katika izra yake rasmi nchini Seengal.
Mkutano huo uliwajumuisha viongozi tofauti wa bara la Afrika na wawakilishi wa mashirika ya kutoa misaada.
Mkutano huo umeonesha kutoa kipaumbele kupunguza idadi ya watoto wasiokwenda shuele katika mataifa ambayo yamekumbwa na umaskini.
Ufaransa imetoa mfano kwa kuongeza kiwango chake katika zoezi hilo ikifuatiwa na Uingereza kwa kutoa kiwango cha dola milioni 417, Umoja wa Ulaya dola milioni 400 na Norway dola milioni 260.
Jumuiya ya kimataifa katika mkutano wake uliandaliwa mjini Dakar Ijumaa kupiga atua na kutoa msaada katika zoezi la kuimarisha sekta ya elimu kwa watoto ikiwemo barani Afrika .
Atua hiyo imepongezwa na kuungwa mkono na nyota wa muziki wa kimataifa Rihanna.
Ushirikiano wa kimataifa wa elimu upo katika muelekeo mzuri jambo ambalo linaitaji kuongezwa kiwango cha dola bilioni 3,1. Haya ni baada ya mkutano uliofanyika mjini Dakar chini ya uongozi wa rais Maky Sall na rais wa Ufaransa Emmanuel Macron katika izra yake rasmi nchini Seengal.
Mkutano huo uliwajumuisha viongozi tofauti wa bara la Afrika na wawakilishi wa mashirika ya kutoa misaada.
Mkutano huo umeonesha kutoa kipaumbele kupunguza idadi ya watoto wasiokwenda shuele katika mataifa ambayo yamekumbwa na umaskini.
Ufaransa imetoa mfano kwa kuongeza kiwango chake katika zoezi hilo ikifuatiwa na Uingereza kwa kutoa kiwango cha dola milioni 417, Umoja wa Ulaya dola milioni 400 na Norway dola milioni 260.
