VIDEO:Mambosasa Amzungumzia Tena Abdul Nondo, Kumpeleka Mahakamani
byMuungwana Blog 1-
0
Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa ametoa ufafanuzi mwingine juu ya Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi TSNP, Abdul Nondo ambapo amesema watampeleka mahakamani baada ya upelelezi kukamilika.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI..USISAHAU KUSUBSCRIBE