Wanajeshi 29 waripotiwa kufariki katika shambulizi la kigaidi Kaskazini mwa nchini Mali.
Shambulizi hilo limelenga eneo ambalo kunapatikana kambi ya jeshi.
Taarifa iliotolewa na makao makuu ya jeshi la Mali imefahamisha kuwa shambulizi hilo limelenga pia mji wa Tarkint Gao.
Katika shambulizi hilo la kigaidi wanajeshi 29 wamefariki na wengine watano wamejeruhiwa.
Nchini Mali tangu mwaka 2012 wanamgambo wa makundi ya kigaidi wanashambulia maeneo tofauti.