Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5,1 laikumba Iran

Tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa  5,1 katika kipimo cha Richter nchini Iran.

Kitengo kinachohusikana na  ardhi nchini Iran kimefahamisha kuwa tetemeko lililokuwa na ukubwa wa 5,1 katika kipimo cha Richter  limetokea nchini humo  katika mji wa Loristan karibu na mji wa Firusi Abad Magharibi mwa Iran.

Kulingana na taarifa zilizochapishwa na  kitengo cha utafiti wa ardhi katika chuo kikuu cha Tehran, tetemeko hilo limetokea majira ya mchana na katika mji wa Loristan.

Tetemeko hilo limesikika katika umbali wa kilomita  7 kutoka katika kitovu chake.
Mpya zaidi Nzee zaidi