Nyumbani Breaking News: Rais Magufuli afanya uteuzi huu byMuungwana Blog 2 -8/19/2020 09:01:00 PM 0 Rais Magufuli amemteua Joseph Mafuru kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Mkoani Dodoma akichukua nafasi ya Godwin Kunambi, kabla ya uteuzi huo Mafuru alikuwa Mkuu wa Idara ya Ardhi, Mipango Miji na Maliasili wa Jiji la Dodoma. Facebook Twitter