Breaking News: Rais Magufuli afanya uteuzi huu

Rais Magufuli amemteua Joseph Mafuru kuwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Mkoani Dodoma akichukua nafasi ya Godwin Kunambi, kabla ya uteuzi huo Mafuru alikuwa Mkuu wa Idara ya Ardhi, Mipango Miji na Maliasili wa Jiji la Dodoma.


 

Chapisha Maoni

Mpya zaidi Nzee zaidi