https://monetag.com/?ref_id=TTIb VIDEO: Mbowe na viongozi wengine chadema wakitoka Mahakamani | Muungwana BLOG

VIDEO: Mbowe na viongozi wengine chadema wakitoka Mahakamani

Kufutia kesi inayoendelea kuhusu Mwenyekiti wa chadema na wenzake, Mh. Freeman Mbowe, leo kesi yao imesikilizwa mahakama ya kisutu na kughairishwa hadi siku ya tarehe 17/ April/ mwaka huu ndio siku kesi hiyo itaendelea kusikilizwa.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...............USISAHAU KUSUBSCRIBE....................