Mkurugenzi wa Jiji la Arusha Kupitia Mtendaji wa Kata Bwana Stansalaus Ismail amesimamisha shughuli zote zinazoendelea katika eneo ambalo ni la serikali linalomilikiwa kinyemela na watu 2 ambapo kwasasa wanahojiwa na polisi kwa ajili ya kutoa maelezo juu ya umiliki wa eneo hilo
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIB
