Kituo cha ruinga cha Marekani CNN chapongeza Uturuki ilivyokabiliana na virusi vya corona.
Kituo cha ruinga cha Marekani , kitengo cha kimataifa kimepongeza Uturuki namna ilivyokabiliana na mbinu ilizotumia kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona.
Kituo hicho kimetaarisha na kupeperusha makala ambayo inazungumzia Uturuki ilivyokabiliana kwa mafaanikio dhidi ya virusi vya corona.
Kituo hicho kimefahamisha kuwa Uturuki imefualu vita vyake dhidi ya covid-19.
Waziri wa Afya wa Uturuki Fahrettin Koca amepeperusha kupitia ukurasa wake wa Twitter kuhusu makala hiyo iliozungumzia Uturuki ilivyokabiliana na virusi vya corona.
Makala hiyo ilirushwa Mei 3 kupitia runinga hiyo ya CNN kitengo cha kimataifa.
Katika makala hiyo, mbinu zilizotumiwa na Uturuki katika kupambana na maambukizi ya covid-19 zimezungumziwa na kuonekana mbinu zilizostahili katika zoezi hilo dhidi ya virusi.
Kituo cha ruinga cha Marekani , kitengo cha kimataifa kimepongeza Uturuki namna ilivyokabiliana na mbinu ilizotumia kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona.
Kituo hicho kimetaarisha na kupeperusha makala ambayo inazungumzia Uturuki ilivyokabiliana kwa mafaanikio dhidi ya virusi vya corona.
Kituo hicho kimefahamisha kuwa Uturuki imefualu vita vyake dhidi ya covid-19.
Waziri wa Afya wa Uturuki Fahrettin Koca amepeperusha kupitia ukurasa wake wa Twitter kuhusu makala hiyo iliozungumzia Uturuki ilivyokabiliana na virusi vya corona.
Makala hiyo ilirushwa Mei 3 kupitia runinga hiyo ya CNN kitengo cha kimataifa.
Katika makala hiyo, mbinu zilizotumiwa na Uturuki katika kupambana na maambukizi ya covid-19 zimezungumziwa na kuonekana mbinu zilizostahili katika zoezi hilo dhidi ya virusi.
