Kiungo wa klabu ya Simba SC, Said Ndemla, inaelezwa anatarajia kuondoka nchini kuelekea barani Ulaya kutafauta maisha mazuri zaidi ya kisoka.
Kiungo huyo mshambuliaji inataarifiwa kuwa ataondoka kuelekea nchini Swedenkufanya majaribio na AFC Eskilstuna.
Uwanja wa AFC Eskilstun |