Anele afariki kwa ajali ya gari


Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, KRC Genk na Mamelodi Sundowns Anele Ngcongca ,33, amefariki dunia leo kwa ajali ya gari nchini Afrika Kusini

Taarifa zinaeleza kuwa Anele amepata ajali akiwa katika BMW ambayo ilikuwa ikiendeshwa na mwanamke ambaye yupo mahututi.


Post a Comment

0 Comments